Saturday 6 March 2010

Kwa mara ya kwanza kutokea tukio la kuuliwa kikatili mtoto na mama yake mzazi kwa kuchomwa visu sehemu mbali mbali za mwili wake.
Tukio hilo limetokea katika wilaya ya Micheweni kisiwani Pemba ambapo tukio hilo limekuwa likiwatia hudhuni wakaazi wengi wa maeneo hayo.
Anaedaiwa kuuwa watu hao anadaiwa kuwa ni bada wa mtoto ambae alikuwa anaishi nae kinyumba

No comments:

Post a Comment