Sunday 14 February 2010

Kiongozi wa kambi ya upizani AbuuBakari Khamis Bakar ambae ndie alipeleka mswaada wa maridhiano katika baraza la wawakilishi ambapo mswaada huo ulipelekea kubalishwa kwa vifungu mbali mbali vya sheria ikiwemo ni pamoja na makamo wa raisi kutoka katika majimbo ambayo yanaongozwa na wakilishi wengfi majimboni.

No comments:

Post a Comment