Friday 12 February 2010

Ilivyokua Zanzibar hali halisi ndio hiyo hapo.


Enzi za ukoloni jinsi watu walivyokuwa wakiteswa, hali ilikuwa ni kweli na sio ya kubuni.
Hivi ndivyo ilivyokuwa Zanzibar ya zamani na sio ya sasa.
Kila unaposikia Zanzibar jenga taswira kama hii ndivyo ilivyokuwa.
lakini sasa Zanzibar tumshukuru M/Mungu kwa utulivu na amani iliyopo nchini.
picha hii ni baadhi ya maeneo ya watumwa yaliyopo katika Kanisa la Mkunazini mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment