Friday 12 February 2010

ENEO LA FORODHANI.


Eneo la bandari ya Zanzibar maeneo ya Forodhani mjini Zanzibar.
Hayo ni mazingira ya bahari ya Zanzibar bahari yake yanavyovutia.
Hii ndio haiba ya bahari ambao kuna upepo mwanana wa bahari ambao unanukia marashia ya karafuu.
Hali hii huvutia wengi wanapopata fursa ya kutembelea Zanzibar ili kuona mazingira ya Zanzibar na utamaduni wa watu wake jinsi walivyowakarimu sana.
Ukitaka kuyajua yote hayo harakisha kupata fursa ya kuja Zanzibar ili uweze kuthibitisha hayo niliyokueleza.

No comments:

Post a Comment