Friday 12 February 2010

siku ya tano ya mafunzo.

Mafunzo ya siku tano nipata kujifunza mambo mengi yakiwemo kufungua blog na kuweza kupata njia nyengine mbadala ambayo itanisaidia kupata mawasiliano na wandishi wengine wa Zanzibar na nje ya Zanzibar.
Mafunzo hayo yataweza kunisaidia katika kazi zangu mbali mbali za habari.

No comments:

Post a Comment